Quran Apps in many lanuages:

Surah Ash-Shu'ara Ayahs #148 Translated in Swahili

فَاتَّقُوا اللَّهَ وَأَطِيعُونِ
Basi mcheni Mwenyezi Mungu, na nit'iini.
وَمَا أَسْأَلُكُمْ عَلَيْهِ مِنْ أَجْرٍ ۖ إِنْ أَجْرِيَ إِلَّا عَلَىٰ رَبِّ الْعَالَمِينَ
Wala sikutakini ujira juu yake. Ujira wangu hauko ila kwa Mola Mlezi wa walimwengu wote.
أَتُتْرَكُونَ فِي مَا هَاهُنَا آمِنِينَ
Je! Mtaachwa salama usalimina katika haya yaliyopo hapa?
فِي جَنَّاتٍ وَعُيُونٍ
Katika mabustani, na chemchem?
وَزُرُوعٍ وَنَخْلٍ طَلْعُهَا هَضِيمٌ
Na konde na mitende yenye makole yaliyo wiva.

Choose other languages: