Quran Apps in many lanuages:

Surah Ash-Shu'ara Ayahs #15 Translated in Swahili

قَوْمَ فِرْعَوْنَ ۚ أَلَا يَتَّقُونَ
Watu wa Firauni. Hawaogopi?
قَالَ رَبِّ إِنِّي أَخَافُ أَنْ يُكَذِّبُونِ
Akasema: Hakika mimi nachelea wasinikanushe.
وَيَضِيقُ صَدْرِي وَلَا يَنْطَلِقُ لِسَانِي فَأَرْسِلْ إِلَىٰ هَارُونَ
Na kifua changu kina dhiki, na ulimi wangu haukunjuki vyema. Basi mtumie ujumbe Harun.
وَلَهُمْ عَلَيَّ ذَنْبٌ فَأَخَافُ أَنْ يَقْتُلُونِ
Na wao wana kisasi juu yangu, kwa hivyo naogopa wasije kuniuwa.
قَالَ كَلَّا ۖ فَاذْهَبَا بِآيَاتِنَا ۖ إِنَّا مَعَكُمْ مُسْتَمِعُونَ
Akasema: Siyo hivyo kabisa! Nendeni na miujiza yetu. Hakika Sisi tu pamoja nanyi, tunasikiliza.

Choose other languages: