Quran Apps in many lanuages:

Surah As-Saaffat Ayahs #80 Translated in Swahili

وَنَجَّيْنَاهُ وَأَهْلَهُ مِنَ الْكَرْبِ الْعَظِيمِ
Na tulimwokoa yeye na ahali zake kutokana na msiba mkubwa.
وَجَعَلْنَا ذُرِّيَّتَهُ هُمُ الْبَاقِينَ
Na tuliwajaalia dhuriya zake ndio wenye kubakia.
وَتَرَكْنَا عَلَيْهِ فِي الْآخِرِينَ
Na tukamwachia (sifa njema) kwa walio kuja baadaye.
سَلَامٌ عَلَىٰ نُوحٍ فِي الْعَالَمِينَ
Iwe salama kwa Nuhu ulimwenguni kote!
إِنَّا كَذَٰلِكَ نَجْزِي الْمُحْسِنِينَ
Kwa hakika hivi ndivyo tunavyo walipa wanao fanya mema.

Choose other languages: