Quran Apps in many lanuages:

Surah As-Saaffat Ayahs #74 Translated in Swahili

فَهُمْ عَلَىٰ آثَارِهِمْ يُهْرَعُونَ
Na wao wakafanya haraka kufuata nyayo zao.
وَلَقَدْ ضَلَّ قَبْلَهُمْ أَكْثَرُ الْأَوَّلِينَ
Na bila ya shaka walikwisha potea kabla yao wengi wa watu wa zamani.
وَلَقَدْ أَرْسَلْنَا فِيهِمْ مُنْذِرِينَ
Na Sisi hakika tuliwapelekea waonyaji.
فَانْظُرْ كَيْفَ كَانَ عَاقِبَةُ الْمُنْذَرِينَ
Basi hebu angalia ulikuwaje mwisho wa walio onywa.
إِلَّا عِبَادَ اللَّهِ الْمُخْلَصِينَ
Isipo kuwa waja wa Mwenyezi Mungu walio khitariwa.

Choose other languages: