Quran Apps in many lanuages:

Surah As-Saaffat Ayahs #53 Translated in Swahili

كَأَنَّهُنَّ بَيْضٌ مَكْنُونٌ
Hao wanawake kama mayai yaliyo hifadhika.
فَأَقْبَلَ بَعْضُهُمْ عَلَىٰ بَعْضٍ يَتَسَاءَلُونَ
Waingie kuulizana wenyewe kwa wenyewe.
قَالَ قَائِلٌ مِنْهُمْ إِنِّي كَانَ لِي قَرِينٌ
Aseme msemaji mmoja miongoni mwao: Hakika mimi nalikuwa na rafiki
يَقُولُ أَإِنَّكَ لَمِنَ الْمُصَدِّقِينَ
Aliye kuwa akinambia: Hivyo wewe ni katika wanao sadiki
أَإِذَا مِتْنَا وَكُنَّا تُرَابًا وَعِظَامًا أَإِنَّا لَمَدِينُونَ
Ati tukisha kufa tukawa udongo na mafupa, ndio tutalipwa na kuhisabiwa?

Choose other languages: