Quran Apps in many lanuages:

Surah As-Saaffat Ayahs #180 Translated in Swahili

أَفَبِعَذَابِنَا يَسْتَعْجِلُونَ
Je! Wanaihimiza adhabu yetu?
فَإِذَا نَزَلَ بِسَاحَتِهِمْ فَسَاءَ صَبَاحُ الْمُنْذَرِينَ
Basi itakapo shuka uwanjani kwao, itakuwa asubuhi mbaya kwa walio onywa.
وَتَوَلَّ عَنْهُمْ حَتَّىٰ حِينٍ
Na waache kwa muda.
وَأَبْصِرْ فَسَوْفَ يُبْصِرُونَ
Na tazama, na wao wataona.
سُبْحَانَ رَبِّكَ رَبِّ الْعِزَّةِ عَمَّا يَصِفُونَ
Subhana Rabbi'l'Izzat Ametakasika Mola Mlezi Mwenye enzi na yale wanayo mzulia.

Choose other languages: