Quran Apps in many lanuages:

Surah As-Saaffat Ayahs #154 Translated in Swahili

أَمْ خَلَقْنَا الْمَلَائِكَةَ إِنَاثًا وَهُمْ شَاهِدُونَ
Au tumewaumba Malaika kuwa ni wanawake, na wao wakashuhudia?
أَلَا إِنَّهُمْ مِنْ إِفْكِهِمْ لَيَقُولُونَ
Ati ni kwa uzushi wao ndio wanasema:
وَلَدَ اللَّهُ وَإِنَّهُمْ لَكَاذِبُونَ
Mwenyezi Mungu amezaa! Ama hakika bila ya shaka hao ni waongo!
أَصْطَفَى الْبَنَاتِ عَلَى الْبَنِينَ
Ati amekhiari watoto wa kike kuliko wanaume?
مَا لَكُمْ كَيْفَ تَحْكُمُونَ
Mna nini? Mnahukumu vipi nyinyi?

Choose other languages: