Quran Apps in many lanuages:

Surah An-Najm Ayahs #19 Translated in Swahili

عِنْدَهَا جَنَّةُ الْمَأْوَىٰ
Karibu yake ndiyo ipo Bustani inayo kaliwa.
إِذْ يَغْشَى السِّدْرَةَ مَا يَغْشَىٰ
Kilipo ufunika huo Mkunazi hicho kilicho ufunuika.
مَا زَاغَ الْبَصَرُ وَمَا طَغَىٰ
Jicho halikuhangaika wala halikuruka mpaka.
لَقَدْ رَأَىٰ مِنْ آيَاتِ رَبِّهِ الْكُبْرَىٰ
Kwa yakini aliona katika Ishara kubwa kabisa za Mola wake Mlezi.
أَفَرَأَيْتُمُ اللَّاتَ وَالْعُزَّىٰ
Je! Mmemuona Lata na Uzza?

Choose other languages: