Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Waqia Ayahs #54 Translated in Swahili

لَمَجْمُوعُونَ إِلَىٰ مِيقَاتِ يَوْمٍ مَعْلُومٍ
Bila ya shaka watakusanywa kwa wakati wa siku maalumu.
ثُمَّ إِنَّكُمْ أَيُّهَا الضَّالُّونَ الْمُكَذِّبُونَ
Kisha nyinyi, mlio potea, mnao kanusha,
لَآكِلُونَ مِنْ شَجَرٍ مِنْ زَقُّومٍ
Kwa yakini mtakula mti wa Zaqqumu.
فَمَالِئُونَ مِنْهَا الْبُطُونَ
Na kwa mti huo mtajaza matumbo.
فَشَارِبُونَ عَلَيْهِ مِنَ الْحَمِيمِ
Na juu yake mtakunywa maji yanayo chemka.

Choose other languages: