Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Qamar Ayahs #33 Translated in Swahili

فَنَادَوْا صَاحِبَهُمْ فَتَعَاطَىٰ فَعَقَرَ
Basi wakamwita mtu wao akaja akamchinja.
فَكَيْفَ كَانَ عَذَابِي وَنُذُرِ
Basi ilikuwaje adhabu yangu na maonyo yangu!
إِنَّا أَرْسَلْنَا عَلَيْهِمْ صَيْحَةً وَاحِدَةً فَكَانُوا كَهَشِيمِ الْمُحْتَظِرِ
Hakika Sisi tuliwapelekea ukelele mmoja tu, wakawa kama mabuwa ya kujengea uwa.
وَلَقَدْ يَسَّرْنَا الْقُرْآنَ لِلذِّكْرِ فَهَلْ مِنْ مُدَّكِرٍ
Na bila ya shaka Sisi tumeifanya Qur'ani iwe nyepesi kwa kukumbuka, lakini yupo akumbukaye?
كَذَّبَتْ قَوْمُ لُوطٍ بِالنُّذُرِ
Kaumu Lut'i nao waliwakadhibisha Waonyaji.

Choose other languages: