Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Qalam Ayahs #52 Translated in Swahili

فَاجْتَبَاهُ رَبُّهُ فَجَعَلَهُ مِنَ الصَّالِحِينَ
Lakini Mola wake Mlezi alimteua na akamfanya miongoni mwa watu wema.
وَإِنْ يَكَادُ الَّذِينَ كَفَرُوا لَيُزْلِقُونَكَ بِأَبْصَارِهِمْ لَمَّا سَمِعُوا الذِّكْرَ وَيَقُولُونَ إِنَّهُ لَمَجْنُونٌ
Na walio kufuru hukaribia kukutelezesha kwa macho yao, wanapo sikia mawaidha, na wanasema: Hakika yeye ni mwendawazimu.
وَمَا هُوَ إِلَّا ذِكْرٌ لِلْعَالَمِينَ
Na hayakuwa haya, ila ni ukumbusho kwa walimwengu wote.

Choose other languages: