Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Mutaffifin Ayahs #20 Translated in Swahili

ثُمَّ إِنَّهُمْ لَصَالُو الْجَحِيمِ
Kisha wataingia Motoni!
ثُمَّ يُقَالُ هَٰذَا الَّذِي كُنْتُمْ بِهِ تُكَذِّبُونَ
Kisha waambiwe: Haya ndiyo mliyo kuwa mkiyakadhabisha.
كَلَّا إِنَّ كِتَابَ الْأَبْرَارِ لَفِي عِلِّيِّينَ
Hasha! Hakika maandiko ya watu wema bila ya shaka yamo katika I'liyyin.
وَمَا أَدْرَاكَ مَا عِلِّيُّونَ
Na nini kitakacho kujuvya nini I'liyyin?
كِتَابٌ مَرْقُومٌ
Kitabu kilicho andikwa.

Choose other languages: