Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Mursalat Ayahs #16 Translated in Swahili

لِأَيِّ يَوْمٍ أُجِّلَتْ
Kwa siku gani hiyo wamewekewa muda huo?
لِيَوْمِ الْفَصْلِ
Kwa siku ya kupambanua!
وَمَا أَدْرَاكَ مَا يَوْمُ الْفَصْلِ
Na nini kitakacho kujuulisha siku ya kupambanua ni nini?
وَيْلٌ يَوْمَئِذٍ لِلْمُكَذِّبِينَ
Ole wao, siku hiyo hao wanao kanusha!
أَلَمْ نُهْلِكِ الْأَوَّلِينَ
Kwani hatukuwaangamiza walio tangulia?

Choose other languages: