Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Mumenoon Ayahs #60 Translated in Swahili

نُسَارِعُ لَهُمْ فِي الْخَيْرَاتِ ۚ بَلْ لَا يَشْعُرُونَ
Ndio tunawahimizia kheri? Lakini wenyewe hawatambui.
إِنَّ الَّذِينَ هُمْ مِنْ خَشْيَةِ رَبِّهِمْ مُشْفِقُونَ
Kwa hakika hao ambao kwa kumwogopa Mola wao Mlezi wananyenyekea,
وَالَّذِينَ هُمْ بِآيَاتِ رَبِّهِمْ يُؤْمِنُونَ
Na wale ambao Ishara za Mola wao Mlezi wanaziamini,
وَالَّذِينَ هُمْ بِرَبِّهِمْ لَا يُشْرِكُونَ
Na wale ambao Mola wao Mlezi hawamshirikishi,
وَالَّذِينَ يُؤْتُونَ مَا آتَوْا وَقُلُوبُهُمْ وَجِلَةٌ أَنَّهُمْ إِلَىٰ رَبِّهِمْ رَاجِعُونَ
Na wale ambao wanatoa walicho pewa, na hali nyoyo zao zinagopa kwa kuwa watarejea kwa Mola wao Mlezi,

Choose other languages: