Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Maarij Ayahs #6 Translated in Swahili

لِلْكَافِرِينَ لَيْسَ لَهُ دَافِعٌ
Kwa makafiri - ambayo hapana awezaye kuizuia -
مِنَ اللَّهِ ذِي الْمَعَارِجِ
Kutoka kwa Mwenyezi Mungu Mwenye mbingu za daraja.
تَعْرُجُ الْمَلَائِكَةُ وَالرُّوحُ إِلَيْهِ فِي يَوْمٍ كَانَ مِقْدَارُهُ خَمْسِينَ أَلْفَ سَنَةٍ
Malaika na Roho hupanda kwendea kwake katika siku ambayo kadiri yake ni miaka khamsini elfu!
فَاصْبِرْ صَبْرًا جَمِيلًا
Basi subiri kwa subira njema.
إِنَّهُمْ يَرَوْنَهُ بَعِيدًا
Hakika wao wanaiona iko mbali,

Choose other languages: