Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Inshiqaq Ayahs #17 Translated in Swahili

إِنَّهُ كَانَ فِي أَهْلِهِ مَسْرُورًا
Hakika alikuwa furahani kati ya jamaa zake.
إِنَّهُ ظَنَّ أَنْ لَنْ يَحُورَ
Huyo hakika alidhani kuwa hatarejea tena.
بَلَىٰ إِنَّ رَبَّهُ كَانَ بِهِ بَصِيرًا
Kwani? Hakika Mola wake Mlezi alikuwa akimwona!
فَلَا أُقْسِمُ بِالشَّفَقِ
Basi ninaapa kwa wekundu wa jua linapo kuchwa,
وَاللَّيْلِ وَمَا وَسَقَ
Na kwa usiku na unavyo vikusanya,

Choose other languages: