Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Hijr Ayahs #96 Translated in Swahili

فَوَرَبِّكَ لَنَسْأَلَنَّهُمْ أَجْمَعِينَ
Basi Naapa kwa Mola wako Mlezi! Tutawahoji wote,
عَمَّا كَانُوا يَعْمَلُونَ
Kwa waliyo kuwa wakiyatenda.
فَاصْدَعْ بِمَا تُؤْمَرُ وَأَعْرِضْ عَنِ الْمُشْرِكِينَ
Basi wewe yatangaze uliyo amrishwa, na jitenge na washirikina.
إِنَّا كَفَيْنَاكَ الْمُسْتَهْزِئِينَ
Hakika Sisi tunatosha kukukinga na wanao kejeli.
الَّذِينَ يَجْعَلُونَ مَعَ اللَّهِ إِلَٰهًا آخَرَ ۚ فَسَوْفَ يَعْلَمُونَ
Hao wanao fanya kuwa pamoja na Mwenyezi Mungu yupo mungu mwingine. Basi, watakuja jua!

Choose other languages: