Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Hijr Ayahs #64 Translated in Swahili

إِلَّا امْرَأَتَهُ قَدَّرْنَا ۙ إِنَّهَا لَمِنَ الْغَابِرِينَ
Ila mkewe. Tunakadiria huyo atakuwa miongoni watao bakia nyuma.
فَلَمَّا جَاءَ آلَ لُوطٍ الْمُرْسَلُونَ
Basi wale wajumbe walipo fika kwa Luut'i,
قَالَ إِنَّكُمْ قَوْمٌ مُنْكَرُونَ
Alisema (Luut'i): Hakika nyinyi ni watu msio juulikana.
قَالُوا بَلْ جِئْنَاكَ بِمَا كَانُوا فِيهِ يَمْتَرُونَ
Wakasema: Bali sisi tumekuletea yale waliyo kuwa wakiyafanyia shaka.
وَأَتَيْنَاكَ بِالْحَقِّ وَإِنَّا لَصَادِقُونَ
Na tumefika kwako kwa Haki, na hakika sisi tunasema kweli.

Choose other languages: