Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Haaqqa Ayahs #52 Translated in Swahili

وَإِنَّهُ لَحَسْرَةٌ عَلَى الْكَافِرِينَ
Na hakika bila ya shaka itakuwa ni majuto kwa wanao kataa.
وَإِنَّهُ لَحَقُّ الْيَقِينِ
Na hakika hii bila ya shaka ni haki ya yakini.
فَسَبِّحْ بِاسْمِ رَبِّكَ الْعَظِيمِ
Basi litakase jina la Mola wako Mlezi Mtukufu.

Choose other languages: