Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Haaqqa Ayahs #35 Translated in Swahili

ثُمَّ الْجَحِيمَ صَلُّوهُ
Kisha mtupeni Motoni!
ثُمَّ فِي سِلْسِلَةٍ ذَرْعُهَا سَبْعُونَ ذِرَاعًا فَاسْلُكُوهُ
Tena mtatizeni katika mnyororo wenye urefu wa dhiraa sabiini!
إِنَّهُ كَانَ لَا يُؤْمِنُ بِاللَّهِ الْعَظِيمِ
Kwani huyo hakika alikuwa hamuamini Mwenyezi Mungu Mtukufu,
وَلَا يَحُضُّ عَلَىٰ طَعَامِ الْمِسْكِينِ
Wala hahimizi kulisha masikini.
فَلَيْسَ لَهُ الْيَوْمَ هَاهُنَا حَمِيمٌ
Basi leo hapa hana jamaa wa kumwonea uchungu,

Choose other languages: