Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Burooj Ayahs #8 Translated in Swahili

قُتِلَ أَصْحَابُ الْأُخْدُودِ
Wameangamizwa watu wa makhandaki
النَّارِ ذَاتِ الْوَقُودِ
Yenye moto wenye kuni nyingi,
إِذْ هُمْ عَلَيْهَا قُعُودٌ
Walipo kuwa wamekaa hapo,
وَهُمْ عَلَىٰ مَا يَفْعَلُونَ بِالْمُؤْمِنِينَ شُهُودٌ
Na wao ni mashahidi wa yale waliyo kuwa wakiwafanyia Waumini.
وَمَا نَقَمُوا مِنْهُمْ إِلَّا أَنْ يُؤْمِنُوا بِاللَّهِ الْعَزِيزِ الْحَمِيدِ
Nao hawakuona baya lolote kwao ila kuwa wakimuamini Mwenyezi Mungu, Mwenye nguvu, Msifiwa,

Choose other languages: