Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Balad Ayahs #20 Translated in Swahili

ثُمَّ كَانَ مِنَ الَّذِينَ آمَنُوا وَتَوَاصَوْا بِالصَّبْرِ وَتَوَاصَوْا بِالْمَرْحَمَةِ
Tena awe miongoni mwa walio amini na wakausiana kusubiri na wakausiana kuhurumiana.
أُولَٰئِكَ أَصْحَابُ الْمَيْمَنَةِ
Hao ndio watu wa kheri wa kuliani.
وَالَّذِينَ كَفَرُوا بِآيَاتِنَا هُمْ أَصْحَابُ الْمَشْأَمَةِ
Lakini walio zikataa Ishara zetu, hao ndio watu wa shari wa kushotoni.
عَلَيْهِمْ نَارٌ مُؤْصَدَةٌ
Juu yao utakuwa Moto ulio fungiwa kila upande.

Choose other languages: