Quran Apps in many lanuages:

Surah Adh-Dhariyat Ayahs #35 Translated in Swahili

قَالَ فَمَا خَطْبُكُمْ أَيُّهَا الْمُرْسَلُونَ
AKASEMA: Basi ujumbe wenu ni nini, enyi mlio tumwa?
قَالُوا إِنَّا أُرْسِلْنَا إِلَىٰ قَوْمٍ مُجْرِمِينَ
Wakasema: Hakika sisi tumetumwa kwa watu wakosefu,
لِنُرْسِلَ عَلَيْهِمْ حِجَارَةً مِنْ طِينٍ
Tuwatupie mawe ya udongo,
مُسَوَّمَةً عِنْدَ رَبِّكَ لِلْمُسْرِفِينَ
Yaliyo tiwa alama kutoka kwa Mola wako Mlezi kwa ajili ya wanao pindukia mipaka.
فَأَخْرَجْنَا مَنْ كَانَ فِيهَا مِنَ الْمُؤْمِنِينَ
Kwa hivyo tutawatoa katika hao wale walio amini.

Choose other languages: