Quran Apps in many lanuages:

Surah Ad-Dukhan Ayahs #55 Translated in Swahili

إِنَّ الْمُتَّقِينَ فِي مَقَامٍ أَمِينٍ
Hakika wachamngu watakuwa katika mahali pa amani,
فِي جَنَّاتٍ وَعُيُونٍ
Katika mabustani na chemchem,
يَلْبَسُونَ مِنْ سُنْدُسٍ وَإِسْتَبْرَقٍ مُتَقَابِلِينَ
Watavaa hariri nyepesi na hariri nzito wakikabiliana,
كَذَٰلِكَ وَزَوَّجْنَاهُمْ بِحُورٍ عِينٍ
Hivi ndivyo itakavyo kuwa, na tutawaoza mahurilaini.
يَدْعُونَ فِيهَا بِكُلِّ فَاكِهَةٍ آمِنِينَ
Humo watataka kila aina ya matunda, na wakae kwa amani.

Choose other languages: