Quran Apps in many lanuages:

Surah Ad-Dukhan Ayahs #50 Translated in Swahili

كَغَلْيِ الْحَمِيمِ
Kama kutokota kwa maji ya moto.
خُذُوهُ فَاعْتِلُوهُ إِلَىٰ سَوَاءِ الْجَحِيمِ
(Itasemwa:) Mkamateni na mtupeni katikati ya Jahannamu!
ثُمَّ صُبُّوا فَوْقَ رَأْسِهِ مِنْ عَذَابِ الْحَمِيمِ
Kisha mmwagieni juu ya kichwa chake adhabu ya maji yanayo chemka.
ذُقْ إِنَّكَ أَنْتَ الْعَزِيزُ الْكَرِيمُ
Onja! Ati wewe ndiye mwenye nguvu, mtukufu!
إِنَّ هَٰذَا مَا كُنْتُمْ بِهِ تَمْتَرُونَ
Hakika haya ndiyo mliyo kuwa mkiyatilia shaka.

Choose other languages: