Quran Apps in many lanuages:

Surah Ad-Dukhan Ayahs #13 Translated in Swahili

بَلْ هُمْ فِي شَكٍّ يَلْعَبُونَ
Lakini wao wanacheza katika shaka.
فَارْتَقِبْ يَوْمَ تَأْتِي السَّمَاءُ بِدُخَانٍ مُبِينٍ
Basi ingoje siku ambayo mbingu zitakapo leta moshi ulio dhaahiri,
يَغْشَى النَّاسَ ۖ هَٰذَا عَذَابٌ أَلِيمٌ
Utakao wafunika watu: Hii ni adhabu chungu!
رَبَّنَا اكْشِفْ عَنَّا الْعَذَابَ إِنَّا مُؤْمِنُونَ
Mola wetu Mlezi! Tuondolee adhabu hii. Hakika tutaamini.
أَنَّىٰ لَهُمُ الذِّكْرَىٰ وَقَدْ جَاءَهُمْ رَسُولٌ مُبِينٌ
Nini faida ya kukumbuka kwao? Na alikwisha wafikia Mtume mwenye kubainisha.

Choose other languages: